Friday, 21 April 2017

SIRI SABA ZA MAISHA (UKIWA HAI) (GOD REMAINS GOD FOREVER)

BWANA Yesu KRISTO MWOKOZI PEKEE APEWE SIFA. Ninakukaribisha tena katika blog hii, ILI uweze kujifunza masomo mbalimbali kuhusu UFALME WA MUNGU.

SOMO :ZIFAHAMU SIRI ZA MAISHA, ILI UISHI KWA AMANI BILA MAWAZO NA MASWALI MENGI (UNDERSTAND THE SECRETS OF LIFE, IN ORDER TO REDUCE CONFLICTS, STRESS, DEPRESSIONS AND PROBLEMS) IN YOUR LIFE!

   NENO LA MUNGU :KUMBUKUMBU LA TORATI 29:29
"MAMBO YA SIRI NI YA BWANA, MUNGU WETU, LAKINI MAMBO YALIYOFUNULIWA NI YETU SISI NA WATOTO WETU MILELE, ILI TUYAFANYE MANENO YOTE YA SHERIA HII"
AYUBU 38 - 42. (Soma hizi sura, BWANA ANAZUNGUMZA MAAJABU YAKE)
AYUBU 40 :2a."
Je!Mwenye hoja atashindana na MWENYEZI?
YEREMIA 23 :23 - 24 
"Mimi ni Mungu aliye karibu, asema BWANA, mimi si Mungu aliye mbali. JE, mtu ye yote aweza KUJIFICHA mahali pa siri, nisimwone? Asema BWANA. Je! Mbingu na nchi hazikujawa nami? Asema BWANA.

WARUMI 11 :33 - 36
" Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya MUNGU! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazitafutikani" Maana ni nani aliyeijua nia ya BWANA? Au ni nani aliyekuwa mshauri wake? Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena?
KWA KUWA VITU VYOTE VYATOKA KWAKE, VIKO KWA UWEZA WAKE, TENA VINAREJEA KWAKE. UTUKUFU una YEYE MILELE. AMINA.

     Rafiki, mpendwa, ndugu msomaji , MAISHA (KUISHI)UHAI  ni ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU anayotupa kwa ajili ya KUSUDI lake maalum na kwa wakati maalum. (LIFE  IS A GIFT FROM GOD)
       
NOTE THE FOLLOWING BELOW!

  • LIFE WITH  A PURPOSE HAS MEANING! 
  • LIFE WITHOUT PURPOSE HAS NO MEANING! 
  • LIFE WITH GOD HAS MEANING! 
  • LIFE WITH GOD, HELP YOU DISCOVER YOUR PURPOSE! 
  • THE PURPOSE IS CLOSED IN CERTAIN TIME, PERIOD OR SEASON! 
  • DISCOVERING YOUR PURPOSE IS IMPORTANT because TIME is not waiting You! 
  • ONLY YOUR PURPOSE, CAN MAKE YOU ENJOY YOUR LIFE! 
  • WE ARE BORN UNIQUE, ORIGIN, IN IMAGE OF GOD! - Find your value in God, GOD is within us.. Find likeliness of GOD IN YOUR LIFE! 
  • DON'T COPY AND PASTE OTHER'S LIFE INTO YOUR LIFE!... ... You may create a lot of stress and problems. 
  • LIFE GOES WITH FAITH... Extraordinary FAITH, TRUSTING LORD for all! 
  • LIFE WITHOUT FAITH HAS NO MEANING, because there is no HOPE.
Only God's Kingdom FAITH in JESUS CHRIST IS the ANSWER to all, questions  problems, stress, tests and temptations! 

  SEVEN SECRETS /MYSTREIS OF LIFE!

  1. There are QUESTIONS in LIFE we can never answer!. .answer only what you know, don't try to answer every questions comes into  your life. 
  2. There are THINGS in LIFE we can never explain... When you try to explain everything, you can create your self explanation... Explain only what you can.  
  3. There are THINGS in LIFE we can never change...Change may come as the time fulfill! 
  4. There are THINGS in LIFE we can not control... just to let them go and pass! 
  5. There are THINGS in LIFE we can not stop..... . . Create a way for them to move on, allow peace in your life. Example. You can't stop death. 
  6. There are THINGS in LIFE we are NOT Responsible for.... Know what you are responsible for, do it.
  7. There are THINGS in LIFE we cannot EXCEED..(Two words are important here (YES or I DON'T KNOW).
 IMPORTANT KEY TO LIFE!

  • Know  your limitation! 
  • Know your responsibility (purpose created for on earth) 
  • Know what is not your responsibility. 
  • Example, we are responsible for Controlling our will.(control your will to Eternal LIFE) 
  • Know what you can do and what you cannot do! 
  • Life on earth is temporary, don't make a permanent solution to worldly things! 
  • Life after earth is ETERNAL, hence Make a blessed Choice or permanent nice solution to get ETERNAL LIFE.. by ACCEPTING AND RECEIVING JESUS CHRIST AS YOUR SAVIOUR in your LIFE! Be blessed! 
IMPORTANT Five QUESTIONS   EVERYONE IS FINDING IN LIFE ON EARTH! 

  1. WHO I AM? - VALUE & IDENTITY! 
  2. WHERE ARE I AM FROM?  - Heritage! 
  3. WHY I AM HERE FOR?  - PURPOSE! 
  4. WHAT CAN I DO? - POTENTIAL! 
  5. WHERE I AM GOING? - Destination, Eternity, HOPE! 
JIBU LA MASWALI HAYO LINAPATIKANA "

MWANZO 1:26 - 30 
" MUNGU akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi "
" MUNGU akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa MUNGU alimwumba, mwanamme na mwanamke aliwaumba "

YOHANA 1 :12-13.
BALI WOTE WALIOMPOKEA ALIWAPA UWEZO WA KUFANYIKA WATOTO WA MUNGU, NDIO WALE WALIAMINILO JINA LAKE,

YOHANA 14 :1 - 2.
Msifadhaike mioyoni mwenu, mnamwamini MUNGU, niaminini na Mimi. Nyumbani mwa BABA yangu mna makao mengi, kama sivyo, ningaliwaambia, Maana naenda kuwaandalia mahali.

NOTE THE LAST IMPORTANT sentence BELOW!
(MWACHE MUNGU ABAKIE KUWA MUNGU PEKEE)
LET GOD BE GOD!

  • There are Things ONLY GOD CAN DO! 
  • There are Things ONLY GOD KNOWS! 
  • There are Things ONLY GOD UNDERSTANDS! 
  • There are Things ONLY GOD CAN EXPLAIN! 
  •     ZABURI 89 :6 
  • "Maana ni nani katika mbingu awezaye kulinganishwa na BWANA? Ni nani afananaye na BWANA miongoni mwa malaika? 
  • ZABURI 89 :11 
  • "MBINGU NI MALI YAKO, NCHI NAYO NI MALI YAKO, ULIMWENGU NA VYOTE VIIUJAZO NDIWE ULIYEUPIGA MSINGI WAKE! 
Ubarikiwe sana ndugu msomaji, ROHO MTAKATIFU akujaze maarifa ya Mungu!
KUMBUKA!
YOHANA 14:6 YESU AKAMWAMBIA, MIMI NDIMI NJIA, NA KWELI, NA UZIMA, MTU HAJI KWA BABA, ILA KWA NJIA YA MIMI.
        Father GOD, JESUS CHRIST and HOLY SPIRIT love  you so much, they have come now on earth to return us into our Original Home, receive them and get back your ETERNAL LIFE!
Reference from Dr. Myles munroe, Rev. Rick warren. 
By JEMRATH BIKOMBO. Jbrev@!